Sunday, April 15, 2012


KUTOKA MAKTABA: ZIARA YA BABA  MTAKATIFU PAPA JOHN PAUL II NCHINI TANZANIA OKTOBA 1990 
  Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwapungia maelfu ya Watanzania waliofurika katika viwanja vya Jwangani jijini Dar es salaam alikoendesha misa maalum ya ziara yake hiyo Oktoba 1990
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II akimlisha mkate Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwasili Jangwani
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II na ujumbe wake wa Vatican katika mazungumzo rasmi na serikali ya Tanzania chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
 Rais  Ali Hassan Mwinyi akimsindikiza Baba Mtakatifu Papa John Paul II baada ya kuhutubia Jangwani
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II akimpa zawadi Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashama Kardinali  Rugambwa
 Baba Mtakatifu Papa John Paul II na mwenyeji wake Mhashama Kardinali Rugambwa
.................
 KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI, SIKU ZA JUMAPILI GLOBU YA JAMII ITAKUWA IKIKULETEA MATUKIO MBALIMBALI  YA KIHISTORIA YA NCHI YETU KUTOKA MAKTABA ZETU KAMA HIVI.

MDAU MWENYE AINA YOYOTE YA TASWIRA ZA KUMBUKUMBU

No comments: